EXCLUSIVE: MTANZANIA ALIYESHINDA BILIONI YA SPORTPESA AFUNGUKA, WEZI WAMVAMIA, ATAJA MIPANGO YAKE

Описание к видео EXCLUSIVE: MTANZANIA ALIYESHINDA BILIONI YA SPORTPESA AFUNGUKA, WEZI WAMVAMIA, ATAJA MIPANGO YAKE

Sio ndoto inayowatokea wengi, sio ndoto rahisi kumtokea yoyote lakini imetokea kwa Florian Massawe, Kijana wa Kitanzania Fundi Malori ambaye alishinda Shilingi BILIONI 1 za SportPesa hivi karibuni na sasa maisha yake yamebadilika ambapo amekaa kwenye EXCLUSIVE na Millard Ayo na kueleza mengi.

Florian amesimulia jinsi Wezi walivyovamia nyumbani kwake baada ya ushindi huo, mipango ya hiyo bilioni moja, jinsi alivyohangaika kuhama nyumbani baada ya Wezi kuvamia nyumbani kwake, mipango yake na kitu anachotaka kufanya pamoja na mengine mengi kwenye video hii.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке