#TBC1

Описание к видео #TBC1

Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa 98.01% ya mradi wa kimkakati wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere ambalo kukamilika kwake kutazalisha Megawati 2115 za umeme
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK

Комментарии

Информация по комментариям в разработке