Viongozi wa kidini mjini Mombasa wameelezea wasiwasi wao

Описание к видео Viongozi wa kidini mjini Mombasa wameelezea wasiwasi wao

Viongozi wa kidini mjini Mombasa wameelezea wasiwasi wao kwa serikali kuendelea kuruhusu raia kutoka uchina kuingia humu nchini wakati wakenya wanaoishi nchini humo hawajaruhusiwa kurejea nyumbani. Wanadai hatua hiyo huenda ikawaweka wakenya katika hatari ya maambukizi ya virusi vya corona ikizingatiwa kuwa mataifa yaliyostawi yamesitisha safari za kwenda na kutoka uchina.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке