Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | Highlights NBC Premier League 22/05/2024

Описание к видео Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | Highlights NBC Premier League 22/05/2024

Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.

Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке