SIRI 3 ADHIMU NA MUJARABU ZA SURAH AD DHUHA ZITAKAZO BADILISHA MAISHA YAKO | SIRI ZA QUR'AN |

Описание к видео SIRI 3 ADHIMU NA MUJARABU ZA SURAH AD DHUHA ZITAKAZO BADILISHA MAISHA YAKO | SIRI ZA QUR'AN |

SIRI 3 ADHIMU NA MUJARABU ZA SURAH AD-DHUHA ZITAKAZO BADILISHA MAISHA YAKO | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini

Katika video hii tunaelezea Siri 3 za Surah Ad-Dhuha katika kukupa mafanikio mkubwa hapa duniani na akhera. Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafwata maelezo yake ili uweze kufikia malengo yako ya kupata mafanikio makubwa uloyakusudia.

Maelezo yake:
Surah: Ad-Dhuha (93)
Ayah: 1-11
-----------------------------------------------------------------------------------------
Utaratibu wake:
 Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
 Tawadha
 Tia Niya sahihi
 Elekea upande wa Qibla
 Omba haja zako zote kupitia kwa Dua hizo (kulingana na maelezo ya video hii) kwa mujibu wa Qur’an na Hadith, kama alivyobainisha Rasulullah kwa dua hizi:
1) اللَّهُمَّ يَا غَنِيُّ أَغْنِنِيْ غِنًا لَا يَأْتِنِيْ بَعْدَهُ فَقْرٌ أَبَدًا .
2) اللَّهُمَّ يَا جَامِعَ الْعَجَائِبِ وَيَا رَادَّ كُلِّ غَائِبٍ يَا مَنْ بِيَدِهِ مَقَالِيْدُ الْأُمُوْرِ اجْمَعْ لِيْ ضَالَتِيْ وَرَدِّ عَلَيَّ مَا ضَاعَ مِنِّيْ يَا رَبَّ الْعَالَمِيْن.
3) اللَّهُمَّ ارْزُقْنِيْ حِفْظَ النَّبِيِّيْنَ وَاسْتِذْكَارِ الْملَائِكَةِ المْقَرَّبِيْنَ.
------------------------------------------------------------------------------------------
Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
**********************************************************************

Комментарии

Информация по комментариям в разработке