MGOMO KARIAKOO: WAZIRI MKUU AINGILIA KATI, KUKUTANA na WAFANYABISHARA, KUSIKILIZA KERO ZAO...

Описание к видео MGOMO KARIAKOO: WAZIRI MKUU AINGILIA KATI, KUKUTANA na WAFANYABISHARA, KUSIKILIZA KERO ZAO...

MGOMO KARIAKOO: WAZIRI MKUU AINGILIA KATI, KUKUTANA na WAFANYABISHARA, KUSIKILIZA KERO ZAO...

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa anatarajia kukutana na kamati ya wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo, Mawaziri wa sekta husika na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Jumatano ya Mei 17, 2023 muda wa saa 8:00 mchana kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu Magogoni – Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mkutano huo unaratibu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makala.
Kwa sasa Serikali inaendelea kuwasihi wafanyabiashara wa soko hilo kuendelea na shughuli zao za biashara wakati Serikali inajiandaa kukutana nao kwa lengo la kuwasikiliza na kushughulikia kero zinazowakabili.





⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST:    • GLOBAL COMEDY/MOVIES  

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: [email protected] OR [email protected]

⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI:    • Habari zote za michezo na Burudani Ta...  
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

Комментарии

Информация по комментариям в разработке