YESU SI MUNGU MASKOFU WAMJIA JUU MZEE WA UPAKO

Описание к видео YESU SI MUNGU MASKOFU WAMJIA JUU MZEE WA UPAKO

#GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)

Follow our Social Media:
FB:   / mzeewaupakotzz  
IG:   / mzeewaupako_tz  
TIKTOK:   / mzee__wa__upako  

Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za Youtube Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке