Silabi/ Silabi za Kiwahili/ Kiswahili/ Irabu/ Konsonanti

Описание к видео Silabi/ Silabi za Kiwahili/ Kiswahili/ Irabu/ Konsonanti

Silabi ni tamko, ambapo sauti za lugha hutamkwa mara moja na kwa pamoja. Kama vile
b+a=ba
b+e=be
b+i=bi
b+o=bo
b+u=bu

Miundo ya Silabi
1. Irabu pekee - u+a=ua
2. Konsonanti na Irabu - b+a =ba
3. Konsonanti pekee - m+pi+ra =mpira
4. Konsonanti + Konsonanti + Irabu - mwa+li+mu= mwalimu
5. Konsonanti+ Konsonanti + Konsonanti +Irabu - ki+chwa =kichwa

#swahili #jifunze #learnswahili

Комментарии

Информация по комментариям в разработке