MBUNGE ATUKANWA NA WANANCHI KISA HAPOKEI SIMU ZAO - "SIWEZI KUPOKEA SIMU ZOTE"

Описание к видео MBUNGE ATUKANWA NA WANANCHI KISA HAPOKEI SIMU ZAO - "SIWEZI KUPOKEA SIMU ZOTE"

MBUNGE ATUKANWA NA WANANCHI KISA HAPOKEI SIMU ZAO - "SIWEZI KUPOKEA SIMU ZOTE"

Mbunge wa Jimbo la Ulanga Salim Alaudin Hasham amewataka baadhi ya Wananchi wanaomtolea lugha za matusi asipopokea simu zao kuacha kufanya hivyo kwakuwa hupokea simu zaidi ya 200 kwa siku moja.

Akizungumza na wakazi wa kata ya Lupiro wilayani Ulanga alipoenda kutoa msaada wa bati na unga kwa wahanga waliobomolewa nyumba zao na upepo Salim amesema ameweka makatibu wa Mbunge kila kata ili wamsaidie kupokea changamoto za wananchi ili wazipeleke kwake kwa ajili ya kuzitafutia ufumbuzi.

Aidha Mbunge amewaeleza wananchi wa jimbo hilo kuwa hata asipopokea simu zao changamoto zao humfikia kupitia makatibu wake na zile zilizo ndani ya uwezo wake huzitatua.

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113

LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻

Follow Us On:
INSTAGRAM:   / wasafitv   ||   / wasafifm  
TWITTER:   / wasafitv   ||   / wasafifm  
FACEBOOK:   / wasafitv  

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии

Информация по комментариям в разработке