FAIDA 10 ZA KUSOMA VITABU

Описание к видео FAIDA 10 ZA KUSOMA VITABU

Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
   • FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI   -~-
Ni watu wachache sana ndiyo wanaopenda na wanafahamu umuhimu wa kusoma vitabu. Watu wengi hasa waafrika hawapendi kusoma vitabu ikiwa hakuna kinachowalazimisha kufanya hivyo kama vile mtihani, kazi, n.k.

Kwa hakika kuna maarifa mengi yaliyofichwa kwenye vitabu; hii ndiyo sababu watu wengi waliofanikiwa husoma au hata kuandika vitabu.

Ikiwa unataka kupata maarifa na kuboresha maisha yako kwa njia ya kusoma vitabu, basi fahamu faida hizi 10 za kusoma vitabu.


Kumbukuka Fikiri kabla hujazungumza. Lakini soma kabla hujafikiri.

MAMBO SABA (7) YA KUACHA ILI UFANIKIWE    • Mambo 7 Ya Kuacha Ili Ufanikiwe  

HAMASA YA LEO :    • HAMASA YA LEO  
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM:   / ezdenjumanne  
TWITTER:   / ezdenjumanne  
FACEBOOK:   / ezdenjumanne  
LINKEDIN:   / ezdenjumanne  
.
For Business please send me an email
[email protected]
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076

Комментарии

Информация по комментариям в разработке