RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"

Описание к видео RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"

#RC Hapi#RCIringa

RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"

JESHI la Polisi mkoa wa Iringa limelalamikiwa na baadhi ya wananchi kwa vitendo vya unyanyasaji dhidi yao ambavyo vimedaiwa ni ukiukwaji wa haki za binadamu.

Wananchi hao wamemweleza Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi, wakati wa ziara yake ya Manispaa ya Iringa aliyotembelea mitaa mbalimbali akizungumza nia wananchi hao.

Aidha baada ya Mkuu huyo wa Mkoa kusikiliza malalamiko hayo ya wananchi juu ya Jeshi hilo la Polisi amelazimika kutoa maelekezo kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Iringa Yohana Mjengi.

bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe http://ww.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK:   / globalpublis.  . TWITTER:   / globalhabari   Visit https://globalpublishers.co.tz/, Suazi1    / uwazi1   WEBSITE:

https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK:   / globalpublis.  . TWITTER:   / globalhabari   INSTAGRAM:   / globalpubli  .

Комментарии

Информация по комментариям в разработке