Mke wa Mzee Yusuf asimulia alivyopambana na Majambazi 4 wenye bunduki na mapanga

Описание к видео Mke wa Mzee Yusuf asimulia alivyopambana na Majambazi 4 wenye bunduki na mapanga

Mapema wiki hii Mzee Yusuf na mke wake Leyla Rashid walivamiwa na majambazi nyumbani kwao Chanika nje ya kidogo mwa jiji la Dar es salaam. Bi Leyla ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kwenye muziki wa Taarab wamefunguka mwanzo mwisho alivyopambana na majambazi hao.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке