REV. DR. ELIONA KIMARO: IWENI NA UNYENYEKEVU

Описание к видео REV. DR. ELIONA KIMARO: IWENI NA UNYENYEKEVU

IBADA YA JUMAPILI 28/08/2022

SOMO: IWENI WANYENYEKEVU

Mathayo 23 : 32 - 35


Mathayo 23 : 32 - 35

32 Kijazeni basi kipimo cha baba zenu.

33 Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?

34 Kwa sababu hiyo, angalieni, mimi natuma kwenu manabii na wenye hekima na waandishi; na wengine wao ninyi mtawaua na kuwasulibisha, na wengine wao mtawapiga katika masinagogi yenu, na kuwafukuza mji kwa mji;

35 hivyo ije juu yenu damu yote ya haki iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya Habili, yule mwenye haki, hata damu ya Zakaria bin Barakia, mliyemwua kati ya patakatifu na madhabahu.

Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro


Kwa maoni na ushauri:
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

e-mail: [email protected]

Комментарии

Информация по комментариям в разработке