Logo video2dn
  • Сохранить видео с ютуба
  • Категории
    • Музыка
    • Кино и Анимация
    • Автомобили
    • Животные
    • Спорт
    • Путешествия
    • Игры
    • Люди и Блоги
    • Юмор
    • Развлечения
    • Новости и Политика
    • Howto и Стиль
    • Diy своими руками
    • Образование
    • Наука и Технологии
    • Некоммерческие Организации
  • О сайте

Скачать или смотреть WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI

  • Mwananchi Digital
  • 2025-01-25
  • 99412
WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI
  • ok logo

Скачать WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI бесплатно в качестве 4к (2к / 1080p)

У нас вы можете скачать бесплатно WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI или посмотреть видео с ютуба в максимальном доступном качестве.

Для скачивания выберите вариант из формы ниже:

  • Информация по загрузке:

Cкачать музыку WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI бесплатно в формате MP3:

Если иконки загрузки не отобразились, ПОЖАЛУЙСТА, НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если у вас возникли трудности с загрузкой, пожалуйста, свяжитесь с нами по контактам, указанным в нижней части страницы.
Спасибо за использование сервиса video2dn.com

Описание к видео WAASI M23 WAKINUKISHA CONGO DR, WAMUUA GAVANA KWA KUMPIGA RISASI

Kivu. Gavana wa Kijeshi wa Jimbo la Kivu Kaskazini, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC) Meja Jenerali, Peter Cirimwami, amefariki kutokana na majeraha ya risasi alizopigwa wakati akitembelea kikosi kilicho mstari wa mbele kukabiliana dhidi ya kundi la waasi wa M23.

Kwa mujibu wa BBC, Ofisa wa Umoja wa Mataifa (jina linahifadhiwa) alidai kuwa mapigano kati ya kikosi cha Jeshi la DRC kilichotembelewa na Cirimwami dhidi ya wapiganaji wa M23, yaliibuka walipokuwa wakijaribu kuuteka mji wa Kivu Kaskazini.

Meja Jenerali Cirimwami aliyeliongoza Jimbo la Kivu Kaskazini tangu 2023, alifariki Alhamisi baada ya kujeruhiwa alipokua anawaongoza wanajeshi katika uwanja wa vita takriban Kilometa 20 kutoka mji wa Goma.

M23 tayari wameshaanza safari ya kuyateka maeneo ya Mji wa Goma na tayari wameshauteka Mji wa Masisi na Minova nchini DRC.

BBC pia imeripoti kuwa raia zaidi ya 200 wameuawa wakiwemo watoto huku zaidi ya raia 200 wa DRC wakitibiwa majeraha yaliyotokana na mabomu yaliyotegwa na wapiganaji hao wa M23 nchini humo.

Waasi wa M23 wanasonga mbele kwa haraka kupitia maeneo mawili karibu na mji mkuu wa jimbo, Goma katika eneo lenye ghasia huko DRC, ambako maelfu ya raia wamekua wakikimbia wiki hii na Umoja wa Mataifa ukionya kwamba vita hivyo huwenda vikapanuka nakua vita vya kikanda.

Kundi la waasi la Congo River Alliance, (AFC) ambalo ni sehemu ya M23 lilitangaza ljuma kwamba wanapanga kuuteka mji wa Goma, wenye wakazi milioni moja.

Maofisa wa DRC na Umoja wa Mataifa wanaishutumu Rwanda kwa kuchochea uasi huo unaondelea kwa miaka mitatu kwa kuwapatia wanajeshi wake silaha kwa ajili ya kuleta machafuko DRC, huku Rwanda ikikanusha madai hayo.

“Cirimwami alifariki muda mfupi alipokuwa njiani kwenda Hospitalini Jijini Kinshasa baada ya kupata majeraha makubwa mwilini kutokana na shambulizi hilo.” alisema Msemaji wa Jeshi la DRC, Jenerali, Sylvain Ekenge.

Mapigano kati ya kundi la M23 na Jeshi la DRC, yameshika kasi hususan wakati huu ambao waasi wanatajwa kuyateka maeneo mengi kwa kushtukiza.

Zaidi ya watu 400,000 wameyakimbia makazi yao mjini Goma kwa mujibu wa Ripoti ya Umoja wa Mataifa.

Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch, limetoa onyo ya kuibuka kwa matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu maeneo yaliyotwaliwa na waasi hao.

Human Rights Watch limeishutumu M23 kukiuka haki za binadamu kwa kutekeleza mauaji dhidi ya raia.

Kutokana na machafuko hayo, Rais wa DRC, Félix Tshisekedi amekatisha ziara yake kwenye Jukwaa la Kiuchumi la Duniani linalofanyika Davos nchini Uswis na kuitisha mkutano wa dharura wa maofisa wa usalama nchini humo.

Baada ya kikao hicho, Rais Tshisekedi, alitoa maagizo kwa vikosi vya jeshi kutoka kambini na kuelekea maeneo walipo waasi hao kwa ajili ya kujibu mapigo na kuwarudisha nyuma wasiendelee kuvamia maeneo ya taifa hilo.

"Rais Tshisekedi ametutaka twende tukapambane nao na kuwarudisha nyuma wasiendelee kusogea kuwavamia wananchi wetu,” alisema Jenerali, Ekenge.

Mji wa Goma ulioko mpakani mwa DRC na Rwanda umerejea mikononi mwa waasi hao tangu walipoondolewa eneo hilo na Jeshi la Congo kwa kushirikiana na wapiganaji wa Umoja wa Mataifa mwaka 2012.

Barabara zinazoingia na kutoka katika mji huo zimefungwa jambo ambalo limesababisha kukosekana kwa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu.

"Mji wa Goma uko mikononi mwa waasi, hakuna tena kutoka wala kuingia, raia wanateseka hakuna chakula wala huduma za kibinadamu,” alisema kiongozi wa eneo moja huko Goma, Bahala Shamavu Innocent alipozungumza na BBC.

Espoir Ngalukiye, ambaye ni Kiongozi wa Upinzani kutoka Chama cha Ensemble pour la Republique, naye alionyesha hofu ya kukosekana chakula kwa raia jambo linalohatarisha maisha yao.

"Hatuko salama eneo lote la Goma,” alisema Ngalukiye, huku akiongeza kuwa hakuna raia aliyepo Goma ambaye atakuambia kuwa hana hofu ndani yake.

Tayari Marekani, Uingereza na Ufaransa zimeshatoa tangazo la kuwataka raia wake walioko DRC kuondoka haraka iwezekanavyo.

Meja Jenerali, Cirimwami alitangazwa kuwa Gavana wa Kivu Kaskazini mwaka 2023, akikabidhiwa jukumu ya kuwatokomeza wapiganaji wa M23, huku uteuzi wake ukikosolewa vikali na Umma wa eneo hilo.

Baada ya uteuzi huo, Cirimwami alitajwa kwenda kinyume na Mteuzi wake, Rais Tshisekedi kwa kile kinachotajwa ni kuanza kushirikiana na Kundi la FDLR kupiigana na waasi hao wa M23, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.

BBC imeripoti kuwa baadhi ya viongozi kundi la FDLR wanahusishwa na tukio la mauaji ya kimbali yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994 huku kundi hilo likituhumiwa pia kuhusika katika mauaji ya raia nchini DRC.
Imeandikwa na Mgongo Kaitira kwa msaada wa Mashirika.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке

Похожие видео

  • Что Обнаружил Китай в Антарктиде на Глубине 3000 м
    Что Обнаружил Китай в Антарктиде на Глубине 3000 м
    20 часов назад
  • Հայլուր-հատուկ թողարկում. Իրանը հարվածում է Իսրայելին ու Մերձավոր Արևելքում ԱՄՆ ռազմաբազաներին
    Հայլուր-հատուկ թողարկում. Իրանը հարվածում է Իսրայելին ու Մերձավոր Արևելքում ԱՄՆ ռազմաբազաներին
    Трансляция закончилась 23 часа назад
  • Редакция News: 210-я неделя
    Редакция News: 210-я неделя
    2 часа назад
  • Бомбой по кумполу диктатора | Иран и война нового типа (English subtitles)
    Бомбой по кумполу диктатора | Иран и война нового типа (English subtitles)
    3 часа назад
  • ⚡️БЕЛКОВСКИЙ: В Кремле НАСТОЯЩАЯ ИСТЕРИКА. Набросились НА КИЕВ. Только послушайте, что ТРЕБУЮТ
    ⚡️БЕЛКОВСКИЙ: В Кремле НАСТОЯЩАЯ ИСТЕРИКА. Набросились НА КИЕВ. Только послушайте, что ТРЕБУЮТ
    2 часа назад
  • 01.3.26 DRONE YA FARDC INAZIDI KUONGEZA KILIOA KU M23/RDF MASISI, RENFORT YA RDF WAMEINGIA SANGE.
    01.3.26 DRONE YA FARDC INAZIDI KUONGEZA KILIOA KU M23/RDF MASISI, RENFORT YA RDF WAMEINGIA SANGE.
    12 часов назад
  • Глава страны убит / Экстренное заявление
    Глава страны убит / Экстренное заявление
    9 часов назад
  • После “Эпической ярости” Трампа Кремль вспомнил о международном праве /№1102/ Юрий Швец
    После “Эпической ярости” Трампа Кремль вспомнил о международном праве /№1102/ Юрий Швец
    15 часов назад
  • Ефремов не общается с Охлобыстиным. Стриптиз в Кремле. Минутка добра от Владимира Соловьева
    Ефремов не общается с Охлобыстиным. Стриптиз в Кремле. Минутка добра от Владимира Соловьева
    4 часа назад
  • Ու՞ր և ինչու՞ է փախչում Աննա Հակոբյանը, դատավճիռը կայացվել է, լսումներ Լոնդոնում և ԱՄՆ Սենատում
    Ու՞ր և ինչու՞ է փախչում Աննա Հակոբյանը, դատավճիռը կայացվել է, լսումներ Լոնդոնում և ԱՄՆ Սենատում
    1 день назад
  • Что находится на 95% пустующей Австралии?
    Что находится на 95% пустующей Австралии?
    9 дней назад
  • ⚡️ Тело Али Хаменеи найдено || Массовые протесты | Путин вступается за Иран
    ⚡️ Тело Али Хаменеи найдено || Массовые протесты | Путин вступается за Иран
    9 часов назад
  • 🔥2 ЧАСА НАЗАД! Иран наступает - массовое бегство из Дубая! ИСТЕРИКА на рос ТВ - Москва следующая!
    🔥2 ЧАСА НАЗАД! Иран наступает - массовое бегство из Дубая! ИСТЕРИКА на рос ТВ - Москва следующая!
    3 часа назад
  • Иран ударил по ОАЭ, Катару, Бахрейну и Кувейту. Аэропорты закрыты, что будет дальше?
    Иран ударил по ОАЭ, Катару, Бахрейну и Кувейту. Аэропорты закрыты, что будет дальше?
    12 часов назад
  • ⚡️НОВОСТИ | ВОЙНА В ИРАНЕ: АЯТОЛЛА УБИТ | РУХНУЛ САМОЛЕТ. 20 ЖЕРТВ| ЭВАКУАЦИЯ В ДУБАЕ| ВЗРЫВ В ШКОЛЕ
    ⚡️НОВОСТИ | ВОЙНА В ИРАНЕ: АЯТОЛЛА УБИТ | РУХНУЛ САМОЛЕТ. 20 ЖЕРТВ| ЭВАКУАЦИЯ В ДУБАЕ| ВЗРЫВ В ШКОЛЕ
    20 часов назад
  • ЦЕНА ОШИБКИ: 13 Инженерных Катастроф, Которые Потрясли Мир!
    ЦЕНА ОШИБКИ: 13 Инженерных Катастроф, Которые Потрясли Мир!
    2 недели назад
  • Путин СБЕЖАЛ В БУНКЕР! ХАМЕНЕИ МЕРТВЫЙ, ему это не помогло :)))
    Путин СБЕЖАЛ В БУНКЕР! ХАМЕНЕИ МЕРТВЫЙ, ему это не помогло :)))
    5 часов назад
  • НЕУДАЧНАЯ СТРЕЛЬБА НА ЗАКРЫТИЕ ОХОТЫ 25-26Г. РЫБАЛКА НА ХАРИУСА.
    НЕУДАЧНАЯ СТРЕЛЬБА НА ЗАКРЫТИЕ ОХОТЫ 25-26Г. РЫБАЛКА НА ХАРИУСА.
    1 день назад
  • Лидер Ирана убит в резиденции. Самый масштабный удар Израиля в истории. Режим Хаменеи уничтожен?
    Лидер Ирана убит в резиденции. Самый масштабный удар Израиля в истории. Режим Хаменеи уничтожен?
    4 часа назад
  • 🔴TAMASHA LA MICHEZO... MACHI 01, 2026
    🔴TAMASHA LA MICHEZO... MACHI 01, 2026
  • О нас
  • Контакты
  • Отказ от ответственности - Disclaimer
  • Условия использования сайта - TOS
  • Политика конфиденциальности

video2dn Copyright © 2023 - 2025

Контакты для правообладателей video2contact@gmail.com