Rigathi: Mawaziri waliojifanya wajuaji wako wapi?

Описание к видео Rigathi: Mawaziri waliojifanya wajuaji wako wapi?

Naibu Rais Rigathi Gachagua amevunja ukimya baada ya Rais William Ruto kuvunja baraza lake lote la Mawaziri mnamo Alhamisi na kusema kwamba anaunga mkono uamuzi huo.

Kulingana Gachagua, Ruto anafaa kutafuta Mawaziri wasio na kiburi na wale ambao hawatajihusisha na siasa.

Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.

Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Комментарии

Информация по комментариям в разработке