#LIVE

Описание к видео #LIVE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, anazindua rasmi Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi. Tume hii imeundwa kwa lengo la kufanya mapitio na maboresho katika mfumo wa kodi nchini, ili kuhakikisha uwajibikaji, ufanisi, na unafuu wa kodi kwa wananchi na wafanyabiashara.


Unaweza kutufuatilia kupitia;

TWITTER:   / thechanzo  
INSTAGRAM:   / thechanzo  
FACEBOOK:   / thechanzo  
TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com

Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105

The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке