Chief Apostle Jean Luc Schneider Divine service Tanzania // IBADA YA MTUME MKUU DAR ES SALAAM

Описание к видео Chief Apostle Jean Luc Schneider Divine service Tanzania // IBADA YA MTUME MKUU DAR ES SALAAM

Ibada iliyoongozwa na Mtume mkuu Jean Luc Schneider jijini Dar es Salaam, Tanzania

Ibada hii ilifanyika Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam Tanzania

Iliongozwa na Neno kutoka Kitabu Cha Kutoka 16:4

Kutoka 16:4
[4]Ndipo BWANA akamwambia Musa, Tazama, mimi nitawanyeshea ninyi mvua ya mkate kutoka mbinguni; na hao watu watatoka nje na kuokota kila siku sehemu ya siku; ili nipate kuwajaribu, kwamba watakwenda katika sheria yangu, ama sivyo.


Mhubili
Mtume Mkuu Jean Luc Schneider
Mtuwe wa Wilaya ya Africa ya Kusini Peter Lambert

Nyimbo
Kufungua:- 21 - Mungu Atukuzwe
To God be the glory (NEH 66)

Toba:- 269 - Tazama niko mlangoni
Behold Me standing at your door (NEH 269)

Ushirika Mtakatifu:-

Wimbo namba 1
210 - Bwana wewe ni Nuru
Star, to which I'am looking (NEH 210)

Wimbo namba 2
197 - Bwana awatambua tangia zamani
The Lord Knows all his people (NIH 335)

Wimbo namba 3
128 - Nikiwa na amani naye Baba
When peace with the Father (NIH 295)

Kufunga:- 10 - Uaminifu wako Baba
Great is Thy faithfulness


©All right reserved 18 AUGUST 2024

Комментарии

Информация по комментариям в разработке