Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"

Описание к видео Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"

Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"

Waziri wa Katiba na sheria Prof. Palamagamba Kabudi leo katika makabidhiano ya pesa pamoja na madini ambayo yaliibiwa Tanzania na Kukamatwa Kenya amesema Tanzania na Kenya ni ndugu akabisa hivyo tuendelee kudumisha upendo na mshikamano...

Pia ametoa shukrani kwa Rais wa kenya Uhuru Kenyatta kwa kuamua kurejesha mali za Tanzania , hivyo amefanya maamuzi mazuri na anastahili kuwa mfano wa kuigwa , na amelipa jambo hili uzito mkubwa sana..

Kabudi ametoa rai kwa wananchi wote wa Kenya na Tanzania kutokuwa wahalifu na kuzilinda mali za nchi zote mbili kwa umakini wa hali ya juu..

#MAWAZIRI

https://www.youtube.com/playlist?list... https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:

www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Insta

Комментарии

Информация по комментариям в разработке