Viongozi kutoka kaunti ya Tana River wanawasihi wakaazi kukomesha vita vya kijamii

Описание к видео Viongozi kutoka kaunti ya Tana River wanawasihi wakaazi kukomesha vita vya kijamii

Viongozi kutoka kaunti ya Tana River wanawasihi wakaazi katika kaunti hiyo kukomesha vita vya kijamii. Vita hivyo, vimeripotiwa kuanza eneo la Bangali ambapo watu 8 waliuwawa jana jumamosi.

Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.

Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Комментарии

Информация по комментариям в разработке