Vital'o FC 0-4 Yanga SC | Highlights | CAF CL 17/08/2024

Описание к видео Vital'o FC 0-4 Yanga SC | Highlights | CAF CL 17/08/2024

Magoli manne yamefungwa, Yanga ikishinda 4-0 ugenini dhidi ya Vital'o ya Burundi, mchezo wa kwanza hatua ya awali kwenye Ligi ya Mabingwa barani Afrika ukipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.

Wafungani ni Prince Dube dakika 6, Clatous Chama dakika ya 68, Clement Mzize dakika ya 74 na Stephane Aziz Ki kwa penati dakika ya 90.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке