Baraza la mawaziri la Kenya Kwanza lilihudumu kwa muda mfupi zaidi

Описание к видео Baraza la mawaziri la Kenya Kwanza lilihudumu kwa muda mfupi zaidi

Hatua ya Kuvunjwa kwa baraza la mawaziri la serikali ya kenya Kwanza imejiri baada ya muda mfupi zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya taifa hili..Mawaziri hao ambao waliteuliwa na Rais William Ruto baada ya ushindi wake katika uchaguzi wa mwaka 2022 walianza kukabiliwa na misukosuko ya hapa na pale muda mfupi tu baada ya kutangazwa...Madai ya ufisadi na utepetevu kazini yakiwaandama baadhi yao

Комментарии

Информация по комментариям в разработке