Duh! Binti Huyu Amshangaza MAGUFULI, Waziri AMELIA Hadharani!

Описание к видео Duh! Binti Huyu Amshangaza MAGUFULI, Waziri AMELIA Hadharani!

Duh! Binti Huyu Amshangaza MAGUFULI, Waziri AMELIA Hadharani!

Mtoto wa kike, Sumayya Juma Abdalah mwenye umri wa miaka 12, ameliza Ummat Muhamad uliofika katika uwanja wa Taifa kushuhudia Mashindano makubwa ya Quraan Tufuku yaliyofanyika leo Mei 19,....

Miongoni mwa walioguswa na mtoto huyu wakati anasoma Quraani ni pamoja na Rais Dkt John Magufuli ambaye ndiye mgeni rasmi, lakini pia Naibu Waziri wa Fedha, Dkt Ashatu Kijaji, ambaye ameshindwa kujizuia na kujikuta akimwaga machozi......

Mashindano hayo yameandaliwa na Taasisi ya Al-Hikma chini ya Sheikh Nurdeen Kishk, ambapo yameshirikisha nchi 20 barani Afrika...

#MASHINDANOYAQURAAN

Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website:

www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho

Комментарии

Информация по комментариям в разработке