Fid Q feat Mex Cortez & Lord Eyez - SIMBA (lyric Video)

Описание к видео Fid Q feat Mex Cortez & Lord Eyez - SIMBA (lyric Video)

SIMBA

FID Q verse
Mitaa inahoji kama niko real au niko feki

Nawaambia kama nimedozi wajue ni deals tu hazieleweki

Sio Siri, sio revola, sio chupi.. ninaisaka keki

Na sio uzee wa kulala spana, kuamka jeki

Bang kama Nako, Peter, Ritha au Imelda

Golden state warriors, Sacramento Kings Chris Webber

El largo camino hacia la libertad #pentimento - Idris Elba

Life is full of twists & turns.. Le madrina Griselda

Na asiyepotea huenda ni mtambo au kichwa

Asiyekosea hajawahi jaribu jambo jipya

Nina nguvu zaidi ya wazo ambalo muda wake umefika

Hivyo usijitusu kwenye hizi hustle ikiwa sio mbabe wa hizi vita

Nchi ya kitu kidogo.. nitaishi vipi ikiwa sina kitu!?

Tajiri anazikusanya tu kila siku

Maskini analia.. hajauona mchana hajauona usiku

Asiyekujua hakuthamini hakuoni ishu

Anayekujua hakuamini na hamna bifu

You win some you lose some.. hivyo ndivyo huendaga

Na sio kila ninachokilenga huwa nina nia ya kukipata

Na mnachokula hakinishibishi.. mnajua

So mnavyonipiga pini ili nisiwini mnazingua..

usivutiwe nikishika pesa na ukasahau vile nili-hustle

nina machozi mengi yanayonilenga na hayajafika kwa macho

Pesa haibadili mikono tu.. hubadili na watu pia

sio wenye midomo tu, hata wale watu haujawahi sikia

SIMBA
2nd verse:

MEX CORTEZ
Yeah

I'm on that Presidential mood tena kirahisi(rais)
mzee

255 to the World on my License plate

Man these are the type of words that the wise exchange

So why explain when they see me the prices change

Leo season tumekutanishwa na nyota

Kila feature wanafichwa kutosha

Vichwa nachosha

Unaweza kurithi kukosa au kicheshi ukaokotwa

Last born first to Rise nani Mex na Ngosha

I keep it a hundred ka niko na kazi mia

Sijui nani ka azimia

Naskia kazimia

Kwa kuwa anazimia hizi kazi anaposkia

Mi wa dunia

Even flat earthers wananisifia(sphere)

Room full of kangas yeah bado inanesa

Yupo manzi ya kitanga alafu namuweza(muheza)

Ghafla nilivaaga kiatu chenye dawa

Kila napowakanyagia natia adabu kwa wazawa

Muonekano sio wa kibantu

Ila watu ndio wakawa wanagundua kibongo bongo huyu kijana ako sawa

So kama haunifahamu usibonge usikanushe

Nikijitoa ufahamu wala usiombe ninyanyuke

Don't kill your own game ile kinyonge ukumbuke

Ni sawa na pusha anayewaza ajinyonge alafu avute

Never seen a Lion Lying

Thats a Fire Sign

I just brought back the old Ngosha from his prime time

Now hold the torch for me Mex cause you rhyme tight

I leave the game in safe hands not for lime light

Aye aye captain catch a high five

See the proper rappers are goners

The corporates laughing you homeless

Whats more than magic is falling

They call me I bring open caskets

Problematic more eradic look me in the eyes and panic

Trying to hologram me while I hold a grammy upon it

But non of that really important

Walking all on the path of my moment

Coming for blood like brother I'm home

I been the hope of the continent

Man I'ma just a die a relic

Apply the pressure

Revitalize the mic

And let em define the credits

Its lonely at the top I'm a Viking on psychedelics

Verse 3:
Lord Eyez

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

Tanzaniia inahangaika kwa kukosa Taarifa

Wanasiasa wanaongea tu kukosa Maanisha

ila hii nchi ya Ahadi lazima tutafika

Fanikisha ‘Insha’Tisha Maliiza

Uzalendo ukaua UKAWA’SAWASAWA

uchawa umekuwa rasmi saa waanzishe Mitaala

Hala Hala jirani kwangu kunavuja ‘njoo kwangu SAWA

Kusifia ndio imebaki midomoni mwao

Haah’Bado tunahangaika na Zahanati ‘Madawati na VYOO

Mtaani watu wanalala kimanati chumba kimoja na CHOO

Kwa Hii NCHI ya AHADI jomba ni SOOO

What are we missings?Mbona hatuwi fiti?

Economical Strategy Mmhhff mmmhhhfff WIZII

Magharibi wanatukimbiza mchakamchaka TIZI,

Why are you scare Nigga?Go to CHURCH

Weeee Terror🥷🏿 Nataka M-catch

I’m a L.O.R.D ‘ wiiwiii-Niko na MCHOMVU tunaendesha JIJI’JiiJii

WARAWARA akiwanywesha UJI’Hamuji

mmmhhhhhh Emoji🔥 Sababu za kula nauli shorty akija HAKUJI

and you know she’s freaky Like Bad & BOUJEE

Pastor TONY na MAONO yaliyojaa MAUJUZI

Nasisi NDOZETU Kuwakilisha Sio toka jana Au juzi

Комментарии

Информация по комментариям в разработке