Logo video2dn
  • Сохранить видео с ютуба
  • Категории
    • Музыка
    • Кино и Анимация
    • Автомобили
    • Животные
    • Спорт
    • Путешествия
    • Игры
    • Люди и Блоги
    • Юмор
    • Развлечения
    • Новости и Политика
    • Howto и Стиль
    • Diy своими руками
    • Образование
    • Наука и Технологии
    • Некоммерческие Организации
  • О сайте

Скачать или смотреть Fafanuzi Rahisi Ya Kitabu Cha Ufunuo Wa Yohana - Sura Ya 4 (Wazee 24 na Wenye Uhai wa 4)

  • Bishop Dr. Fredrick Simon
  • 2022-10-25
  • 6502
Fafanuzi Rahisi Ya Kitabu Cha Ufunuo Wa Yohana - Sura Ya 4 (Wazee 24 na Wenye Uhai wa 4)
  • ok logo

Скачать Fafanuzi Rahisi Ya Kitabu Cha Ufunuo Wa Yohana - Sura Ya 4 (Wazee 24 na Wenye Uhai wa 4) бесплатно в качестве 4к (2к / 1080p)

У нас вы можете скачать бесплатно Fafanuzi Rahisi Ya Kitabu Cha Ufunuo Wa Yohana - Sura Ya 4 (Wazee 24 na Wenye Uhai wa 4) или посмотреть видео с ютуба в максимальном доступном качестве.

Для скачивания выберите вариант из формы ниже:

  • Информация по загрузке:

Cкачать музыку Fafanuzi Rahisi Ya Kitabu Cha Ufunuo Wa Yohana - Sura Ya 4 (Wazee 24 na Wenye Uhai wa 4) бесплатно в формате MP3:

Если иконки загрузки не отобразились, ПОЖАЛУЙСТА, НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если у вас возникли трудности с загрузкой, пожалуйста, свяжитесь с нами по контактам, указанным в нижней части страницы.
Спасибо за использование сервиса video2dn.com

Описание к видео Fafanuzi Rahisi Ya Kitabu Cha Ufunuo Wa Yohana - Sura Ya 4 (Wazee 24 na Wenye Uhai wa 4)

Fafanuzi Rahisi Ya Kitabu Cha Ufunuo Wa Yohana - Sura Ya 4 (Wazee 24 na Wenye Uhai wa 4) na Askofu Dr. Fredrick Simon

MAONO YA MBINGUNI

1. PANDA HATA HUKU
4:1 “Panda hata huku”; maneno hayo yana maana kuu 2.
ii. Yohana alitakiwa apande katika ulimwengu wa kiroho, apate kuyaona mambo mengi ya mbinguni. Musa pia aliambiwa apande juu (Kutoka 19:20,24).
iii. Watakatifu wanatakiwa wapande juu kabla ya Dhiki kuu Luka 21:36; 2Wathesalonike 2”7,8. Dhiki kuu ni pigo kwa ajili ya dhambi – Sefania 1:17. Hasira ya Bwana si juu yetu sisi tuliookoka 1Wathesalonike 5:9.

2. WAZEE ISHIRINI NA NNE – 4:4,10; 5:5
Hawa ni:-
i. Wawakilishi 12 wa makabila 12 ya Israeli, huwakilisha Agano la Kale – Mwanzo 49.
Majina yao yanatajwa katika kitabu cha Hesabu 2
ii. Mitume 12 wa Yesu Kristo, wanawakilisha Agano Jipya – Ufunuo 21:10-14.
Majina yao yanatajwa katika Mathayo 10:2-4.

3. WENYE UHAI WANNE - 4:6-8.
Hao wenye uhai wanne wanaotajwa ni mfano wa Simba, Ndama na Tai, ila pia alikuwa na uso kama uso wa mwanadamu. Wote hao wanamtaja Yesu Kristo kama anavyofafanuliwa katika injili zake nne, kama ifuatavyo:-
i. Mfano wa Simba (5:5) – Yaani Yesu sio mnyama simba, ila kibiblia simba humaanisha Mfalme. Hapo humaanisha kwamba Yesu Kristo ni Mfalme, na Injili pekee inayomtaja hivyo ni Injili ya Mathayo. Ndiyo maana injili ya Mathayo pekee inataja kuhusu mamajusi wa mashariki walienda wakiuliza “.... Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa wayahudi?.....” Mathayo 2:1,2.
ii. Mfano wa Ndama – Hii inawakilisha Injili ya Marko inayomtaja Yesu kama Mbeba mizigo ya watu, yaani Yesu ni Mtumishi.
iii. Uso kama wa Mwanadamu – Hii ni Injili ya Luka pekee iliyomtaja Yesu katika ukoo wa Mariamu, kuonyesha kuwa Yesu ni mwanadamu halisi. Ndio maana, uzao wa Yesu katika injili ya Mathayo, ni tofauti na jinsi ilivyotajwa katika injili ya Marko

“Kitabu cha ukoo wa Yesu mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu. Ibrahimu alimzaa Isaka, Isaka akamzaa Yakobo, Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake; ...Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo” – Mathayo 1:1,2,16.

Ambapo katika Luka 3:23 tunasoma,
“Na Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa amepata umri wake kama miaka thelathini, akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu, wa Eli, wa Mathati, wa Lawi, wa Melki, wa Yana, wa Yusufu”.

Katika injili ya Mathayo, tunaona Yesu akitajwa katika ukoo wa Kifalme. Katika Luka Yesu anatajwa kama mwanadamu wa kawaida kabisa. Unajua kwa nini? Mathayo anamtaja Yusufu mwana wa Yakobo, ambapo Luka anamtaja Yusufu kama mwana wa Eli (Huyo Eli alikuwa ni baba mzazi wa Mariamu mama wa mwokozi wetu Yesu).

Tunaelewa wazi kwamba Yusufu sio baba mzazi wa Yesu, ndio maana Yesu Kristo hakuwahi kumwita Yusufu popote katika maandiko kwamba ni baba yake.

iv. Mfano wa Tai – Hii ni Injili ya Yohana inayomfafanua Yesu kuwa ni Tai, yaani Mungu mwenye nguvu – Yohana 1:1; 20:28.
Tunaona wazi kwamba wenye ‘uhai wanne’ ni viumbe wanaomfafanua Yesu Kristo alivyo, kulingana na Injili hizo Nne zinavyomfafanua. Hata Ezekieli aliona maono yanayofanana na hayo (Ezekieli 1:6,10).
 Wenye uhai hao wanne pia ni mfano wa makundi manne katika safari ya waisraeli. Katika bendera za makundi hayo manne, zilizokuwepo picha za wenye uhai hao wanne katika kumtabiri Kristo Yesu (Hesabu 2:1-3; 10:14-28).


Mungu Akubariki Sana
Usisahau ku Subscribe, Like, Comment na ku share


#bishop #fredricksimon #UfunuowaYohana #wazee24 #wenyeuhaiwanne
#mahubiri #sikuzamwisho

Комментарии

Информация по комментариям в разработке

Похожие видео

  • Fafanuzi rahisi ya Kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Watakatifu Kipindi Cha Dhiki Kuu (Sura ya 7)
    Fafanuzi rahisi ya Kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Watakatifu Kipindi Cha Dhiki Kuu (Sura ya 7)
    3 года назад
  • WENYE UHAI WANNE NA DR MWALUSAMBO #kingdomphilosophy   #biblestudy   #gospelmusic
    WENYE UHAI WANNE NA DR MWALUSAMBO #kingdomphilosophy #biblestudy #gospelmusic
    1 год назад
  • 3 DALILI ZA KURUDI KWA YESU MARA YA PILI  | MCH TIMOTHY MWITA | PHID
    3 DALILI ZA KURUDI KWA YESU MARA YA PILI | MCH TIMOTHY MWITA | PHID
    4 года назад
  • 🔴 СРОЧНО ИРАН И ТРАМП НАСТРОЕНЫ ВОЕВАТЬ ДО ПОСЛЕДНЕГО #новости #одиндень
    🔴 СРОЧНО ИРАН И ТРАМП НАСТРОЕНЫ ВОЕВАТЬ ДО ПОСЛЕДНЕГО #новости #одиндень
    9 часов назад
  • Fafanuzi rahisi ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Kipindi cha Dhiki Kuu (Muhuri nne na Farasi wanne)
    Fafanuzi rahisi ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Kipindi cha Dhiki Kuu (Muhuri nne na Farasi wanne)
    3 года назад
  • Maswali Na Majibu Na Dr.Mwalusambo #biblestudy #gospel
    Maswali Na Majibu Na Dr.Mwalusambo #biblestudy #gospel
    7 месяцев назад
  • KIMENUKA; IRAN YATUMIA MAKOMBORA YENYE MABOMU YA KUSAMBAA (CLUSTER) KUSHAMBULIA ISRAEL
    KIMENUKA; IRAN YATUMIA MAKOMBORA YENYE MABOMU YA KUSAMBAA (CLUSTER) KUSHAMBULIA ISRAEL
    6 часов назад
  • HAUFANANISHWI NA KITU KINGINE | Powerful African Gospel Worship | PABO Gospel Music
    HAUFANANISHWI NA KITU KINGINE | Powerful African Gospel Worship | PABO Gospel Music
    2 часа назад
  • Fafanuzi Rahisi ya Kitabu cha Ufunuo wa Yohana - ROHO SABA ZA MUNGU (Na. Bishop Dr. Fredrick Simon)
    Fafanuzi Rahisi ya Kitabu cha Ufunuo wa Yohana - ROHO SABA ZA MUNGU (Na. Bishop Dr. Fredrick Simon)
    3 года назад
  • Fafanuzi rahisi ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Mapigo Ya Baragumu Sura ya 8 na 9
    Fafanuzi rahisi ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana - Mapigo Ya Baragumu Sura ya 8 na 9
    3 года назад
  • VIZUIZI VYA UMOJA KATIKA KANISA LA LEO - 1. UKABILA (Na Bishop Dr. Fredrick Simon)
    VIZUIZI VYA UMOJA KATIKA KANISA LA LEO - 1. UKABILA (Na Bishop Dr. Fredrick Simon)
    4 года назад
  • unabii by francis ndacha
    unabii by francis ndacha
    Трансляция закончилась 2 года назад
  • WAZEE 24 WALIKUWA NANI HUKU DUNIANI NA KAZI YAO MBINGUNI NI NINI?
    WAZEE 24 WALIKUWA NANI HUKU DUNIANI NA KAZI YAO MBINGUNI NI NINI?
    2 года назад
  • NI WAKATI WA KUTAFUTA MAPENZI YA MUNGU KWA KILA JAMBO; YOHANA 4 : 23
    NI WAKATI WA KUTAFUTA MAPENZI YA MUNGU KWA KILA JAMBO; YOHANA 4 : 23
    Трансляция закончилась 1 день назад
  • NENO LA SIKU | Yohana 4 | Maombi Ya Kujitenga Na Ibada Za Miungu | Isaac Javan
    NENO LA SIKU | Yohana 4 | Maombi Ya Kujitenga Na Ibada Za Miungu | Isaac Javan
    1 год назад
  • Marekani ikichukua udhibiti wa anga la Iran ndani ya wiki, hiki ndicho kitatokea, Masubi afafanua
    Marekani ikichukua udhibiti wa anga la Iran ndani ya wiki, hiki ndicho kitatokea, Masubi afafanua
    16 часов назад
  • ALAMA YA MNYAMA  NI NINI? By  MCHUNGAJI PAUL SEMBA
    ALAMA YA MNYAMA NI NINI? By MCHUNGAJI PAUL SEMBA
    4 года назад
  • FAFANUZI KUHUSU MAKANISA SABA(7) YA ASIA NDOGO - 1. EFESO (Na Bishop Dr. Fredrick Simon)
    FAFANUZI KUHUSU MAKANISA SABA(7) YA ASIA NDOGO - 1. EFESO (Na Bishop Dr. Fredrick Simon)
    4 года назад
  • SIKU 3 ZA KUWEZESHWA - DAY 3 - EVENING SESSION || PASTOR GEORGE MUKABWA || 05/03/2026
    SIKU 3 ZA KUWEZESHWA - DAY 3 - EVENING SESSION || PASTOR GEORGE MUKABWA || 05/03/2026
    Трансляция закончилась 21 час назад
  • MAFUNDISHO SAHIHI KUHUSU KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA
    MAFUNDISHO SAHIHI KUHUSU KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA
    2 года назад
  • О нас
  • Контакты
  • Отказ от ответственности - Disclaimer
  • Условия использования сайта - TOS
  • Политика конфиденциальности

video2dn Copyright © 2023 - 2025

Контакты для правообладателей video2contact@gmail.com