WAJACKOYAH: BANGI GUNIA NI DOLA MIL.3 ,LA MAHARAGE NI ELFU6, NIKIWA RAIS TUTAIOTESHA HADI BARABARANI

Описание к видео WAJACKOYAH: BANGI GUNIA NI DOLA MIL.3 ,LA MAHARAGE NI ELFU6, NIKIWA RAIS TUTAIOTESHA HADI BARABARANI

Hii ni Exclusive Interview na Mgombea Urais wa Kenya kwenye uchaguzi Mkuu wa August 2022 Profesa Wajackoyah ambaye sera zake zimewafurahisha wengi na kumfanya awe gumzo ambapo anataka kuhalalisha bangi na ioteshwe mpaka barabarani.

Kingine atachofanya iwapo atashinda urais ni kusimamisha katiba kwa miezi sita, Watu watakuwa wakifanya kazi siku nne za wiki pekee, na pia atavuta bangi IKULU na BUNGENI siku ya kuapishwa kwake ili kufukuza mashetani ya rushwa na ufisadi, fuatilia Interview hii na utacheka, uta-enjoy na kujifunza.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке