CHEKECHE | Israel na Hezbollah ni mgogoro mpya kwa jina la ugomvi wa Palestina na Israel?

Описание к видео CHEKECHE | Israel na Hezbollah ni mgogoro mpya kwa jina la ugomvi wa Palestina na Israel?

Lebanon imekuwa gumzo hivi sasa baada ya kukumbwa na mashambulizi ya kieletroniki kwenye mji mkuu wa Beirut yaliyoua zaidi ya watu 30 na kuwajeruhi wengine takribani 2, 600 yakiwa yamewalenga wanamgambo wa Hezbollah.

Ni shambulio lililoibua hasira za kundi la Hezbollah na likiapa kulipiza kisasi lakini kabla hata hali haijatulia kamanda wao mwandamizi wa jeshi Ibrahim Aqil naye akauawa katika shambulio la anga la Israel

Комментарии

Информация по комментариям в разработке