UHARAMU WA NYIMBO NA MUZIKI. SHEIKH KISHK.

Описание к видео UHARAMU WA NYIMBO NA MUZIKI. SHEIKH KISHK.

Khutba ya Ijumaa iliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Ihsaan Maarufu Veternary Temeke Tarehe 1/2/2008. Mada hii inaelezea namna jamii ilivyopotoka kutokana na wimbi kubwa la waimbaji kuongezeka, Kutokana na ongezeko hilo ndipo Sheikh alipoamua kuelezea uharamu wa nyimbo na muziki, ni uharamu upi itazame hadi mwisho upate kuelimiaka, tunaomba usambaze kwa wingi ujumbe huu na Allah atawalipeni InshaAllah.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке