Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae

Описание к видео Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae

Jina lake ni Hellen Dausen na umri wake ni miaka 29 ( November 1986) ni Mrembo ambaye aliipiga chini ndoto yake aliyokaa nayo miaka kumi bila kumfanikisha lakini akaingia kwenye mbio za Ubilionea na kitu kingine kabisa maishani mwake.

Unaambiwa Jarida la FORBES ambalo limekua na nguvu duniani na kutoa ripoti mbalimbali zikiwemo za uchumi na watu na utajiri wao, lilikua na list ya idadi ya vijana takribani elfu mbili lakini Hellen akaibuka miongoni mwa vijana 30 wa Afrika wenye fikra na mikakati ambayo ni utajiri wa siku chache zijazo.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке