Ahmed Ally afunguka mashine tatu watakazotangaza leo

Описание к видео Ahmed Ally afunguka mashine tatu watakazotangaza leo

Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amefungua ‘code’ za wachezaji watatu ambao watawatangaza leo.

Mmoja ni mashine mtoa roho ambaye ni kiungo mkabaji anayetokea katika nchi iliyopo kati ya Afrika Magharibi na Afrika Kaskazini.

Mwingine ni mashine katili ambaye ni kiungo mchezeshaji atakayetambulishwa saa 12:00 jioni na baadae usiku watatambulisha mwingine.

Ahmed amezungumza na mtangazaji Mahmoud Zubeir kwa njia ya #WhatsAppCall kupitia kipindi cha #SportsAM

#SimbaSC #SportsAM #AhmedAlly

Комментарии

Информация по комментариям в разработке