Mtoto wa Ruge: Tumewasamehe wote waliomkosea Ruge, na mtusamehe tuliowakosea

Описание к видео Mtoto wa Ruge: Tumewasamehe wote waliomkosea Ruge, na mtusamehe tuliowakosea

Mwachi ambaye ni mtoto wa kwanza wa marehemu Ruge Mutahaba amesoma wasifu wa marehemu baba yake na kusema kuwa kama familia, wamewasamehe wote ambao kwa namna moja au nyingine walimkosea #Ruge na wao wanaomba msamaha kama waliwakosea wengine.
#PumzikaRuge #AzamTWO #AzamTVApp

Комментарии

Информация по комментариям в разработке