P FUNK: DAKTARI ALISEMA MAMA HAWEZI KUISHI MIEZI MIWILI ZAIDI || WASANII WAFUNGUKA

Описание к видео P FUNK: DAKTARI ALISEMA MAMA HAWEZI KUISHI MIEZI MIWILI ZAIDI || WASANII WAFUNGUKA

Septemba 08 mwaka huu mama mzazi wa prodyuza mkongwe wa muziki wa kizazi kipya P Funk Majani alifariki dunia. Bi Mkubwa huyo maarufu kwa jina la Aunt Sheilah aliumaliza mwendo akiwa nchini Uholanzi kwenye matibabu.

Kwa mujibu wa P Funk amesema mama yake alikuwa akisumbuliwa na kansa ya kongosho ambapo licha ya kufikishwa kwa wataalamu, matibabu yalishandikana na ripoti ya mwisho kutoka kwa madakatri ilisema mama huyo angeweza kuishi kwa miezi miwili tu.

Комментарии

Информация по комментариям в разработке